Aloe propolis cream ni bidhaa kutoka forever living iliyo na mchanyiko wa aloe vera gel pamoja na bee propolis, bidhaa hizi mbili kwa pamoja hutengeneza mchanganyiko wa madini yaliyopo kwenye asali na vitamins zilizopo kwenye ini la aloe vera, bee propolis ni madini wanayotengeneza nyuki kuhifadhi asali na ndio inayotumika kuzalisha ngozi yako upya na kuondoa kemikali, aloe vera gel ndani yake ina madini mengi sana ya vitamin E, A na C inayosaidia ngozi yako kutengeneza unyevu muda wote na kufanya ngozi iwe laini mno, bidhaa hii matumizi yake yatakusaidia sana
1. kutunza unyevu kwenye ngozi
2. kuondoa chunusi.
3. kufanya ngozi iwe laini.
4. kuondoa miwasho kwenye ngozi.
5. kurudisha uhalisia wa ngozi.
6. kutibu ngozi iliyoharibiwa na miyale ya jua.
SASA BASI ondoa shaka tunapatikana muda wote na ikikubidi chat nasi whatsapp au tupigie