Aloe evershield imetengenezwa na aloe vera kwa wingi ,ikiwa na sifa ya kutakuwa na aliminium kama deodorant nyingine, lakini pia haina ani-perspirants hivyo haizuii kutoka jasho.
Deodorant zenye aluminium huziba vitundu vya jasho ili mtu asitoke jasho akiwa kwenye mishemishe, hali hii huharibu system ya mwili ya kutoa taka (metabolism) na kufanya mwili kukusanya taka ndani ya ngozi ambayo huleta hatari.
Aluminium hufanya kwapa na ngozi kutengeneza weusi ambao watu wengi hawaupendi.
Faida za aloe evershield
1. Huondoa weusi kwenye makwapa.
2. Haiachi alama kwenye nguo
3. Haichomi na inafaa kutumia baada ya kushave.
4. Ina harufu nzuri na sio kali sana hivyo inafaa hata kwa wazazi wenye watoto wadogo .
5. Aloe deodorant ni nzuri pia kwa mtu mwenye mguu wa kunuka.
INAKAA MUDA MREFU SANA KWANZIA MIEZI 4 MPAKA 6 kwa budget ndogo sana.