Vitolize imetengenezwa kwa mbegu nyingi, vitamins na madini kadhaa kwa ajili ya balance ya hormone za mwanadamu.
KWA MWANAUME
Ina zinc ambayo ni chakula cha tezi ya mwanaume.
zinc hutunza tezi kwanzia inapokuwa mpaka uhifadhi wake na kuzuia kuvimba kwa tezi dume.
Ina selenium ambayo huongeza balance kwenye hormone, kwa kutoa sauti inayoeleweka, ndevu, misuli, lakini pia hormone za mapenzi ukiwa mwanaume lazima upate hisia za kimapenzi, kuota ndoto nyeti, kuamka kukuta jogoo kasimama iyo ni kawaida .
Ina lycopene ambayo huongeza balance kwenye tezi ya mwanaume, hufanya tezi kutanuka mara moja tu na kuruhusu mabadiliko ya kimwili
Ina vitamin C, D na E ambazo ni nguzo kwenye afya ya tezi zetu, D huleta afya ya mbegu za kiume, C huongeza kinga tezi isishambuliwe na pia E huongeza ufanisi wa kiumbe kutoka kisicho na hitilafu.