Je kipi huwa kinakutatisa sana kwenye afya yako ya uzazi? mult macca kutoka forever ni supplement muhimu sana kwa matatizo ya afya ya uzazi ikiwemo kwenye jinsia zote mbili kwa sababu ya uwepo wa calcium ,selenium na l-arginine kwa wingi ambazo ni muhimu sana kwenye afya hii.
FAIDA KWA MWANAMKE
1. itakusaidia kubalance mzunguko na maumivu makali ya hedhi.
2. itakusaidia pia kubalance hormone kwa wenye tatizo hilo.
3. Hurutubisha mayai ya kike na kuondoa changamoto ya kutokupata mtoto.
4. Huongeza hamu muda wa tendo la ndoa
KWA MWANAUME.
1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa stamina na nguvu za kiume.
2. Inaongeza idadi ya nguvu za kiume.
3.Huimarisha misuli ya uume ulioletwa kwa waliofanya punyeto.
4. Husaidia kubalance hormone
5. Husaidia mwanaume kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea kulifikia yai la mwenza wake kirahisi.