Security camera ni taa ya bulb yenye uwezo mkubwa sana wa kuchukua video hadi sauti
umekuwa huelewi biashara yako inakwenda vipi kila siku shot mauzo hakuna
ofisini wafanya kazi wavivu awafanyi kazi kazi yao kupiga story na kuchelewa kazini
security camera ita record kila kitu kinacho endelea kwenye biashara yako kama wafanya kazi wanapiga story tu basi utawaona
nakama kuna zinachukuliwa ovyo ovyo kwa matumizi ya ovyo ovyo basi utaona kila kitu
atta ukiwa nje ya mkoa wako utaona kila kitu kinacho endelea
security camera unaweza kuunganisha na simu yako ili kuona matukio yote
popote ulipo dar es salaam unaletewa hadi ulipo agiza taa nyingi