Inawekwa Line ya Simu, unajiunga bando kama kawaida.
Ina uwezo mkubwa sana wa kuona mbali, kuzoom.
Ina sehemu ya kuweka Memory Card kwa ajili ya kutunza kumbukumbu.
Ina uwezo wa kuzunguka pande zote.
Unaweza kuunganisha na simu yako hata kama upo mbali na unaona yanayoendelea shambani, nyumbani, kazini nk.
Hahitaji umeme, inatumia solar tuu.
Bei yake ni Tsh. 189,999 tu
Delivery tunafanya kwa gharama za mteja
Mikoani tunatuma