✓Hii system ni kiboko ya wale wezi wavunjao maofisi na majumba ya watu karibuni tuwafungie huu mfumo wa alarm za kisasa unaotoa taarifa Kwa njia ya simu,sms na kelele za alarm.
✓Pale sensor zinapohisi uwepo wa mtu katika eneo lako au mlango ukifunguliwa au kuvunjwa alarm itapiga kelele na system itakupigia simu na sms.
~Bei 350,000Tsh071XXXXXXX