GSM ALARM SYSTEM ambayo inau uwezo wa kukupigia simu, kukutumia sms lakini kwa wakati huohuo kuna king’ora kikipigwa kwa nguvu kuashiria hatari katika eneo ilipowekwa hii system yetu.
GSM ALARM SYSTEM ni teknolojia mathubuti amabayo imetengenezwa kwa ubora mathubuti na inakuja na vitu vifuatavyo ambavyo vitasaidia katika kutoa taarifa husika:
◉ DOOR DETECTORS (3)
Hizi ni detectors ambazo zinawekwa mlangoni. Pindi utakapo kuwa umetega alarm yako, akija mharifu na kifungua mlango basi hizi detectors zinaiambia system yetu kuwa mlango umefunguliwa bila ruhusa ya mhusika ambapo sasa itasababisha system yetu kukupigia simu na meseji na wakati huohuo king’ora kikipiga kwanguvu kuashiria tatizo. Hizi door detectors zinakuja tatu katika package ya system yetu.
◉ MOTION DETECTORS (3)
Hizi nazo zinafungwa kwenye kuta ili kuweza kudetect motion y