Linda mali zako na gsm alarm system
inauwezo wa kuntambua intruder alieingia kwenye mali zako pasipo yeye kujua kwa kutumia (motion sensor).
Inakupigia simu na kukupigia sms kwa pamoja kuwa mali zako ziko hatarini na unahitajika kwa haraka sana. Wakati inapiga simu na kutuma sms pia inakuwa inapiga alarm kwa sauti kubwa sna.
Inakuwa na door sensors ambazo wezi wakivunja milango utawatambua baada ya kufanikiwa kuvunja milango hiyo.
Inakuja pia na smoke and gas detector ambayo husaidia katika kutoa taarifa kwenye majanga ya moto na kuvuja kwa gas hivyo husaidia katika kukupa taarifa kabla madhara hayajatokea.Wakati huohuo inapiga alarm
piainakuja na motion detectors ambazo kazi yake ni kusense motion ya mtu pindi unapokuwa umeset alarm yako hivyo iatakupigia simu na kutuma msg kuwa eneo ulipoweka motion detectors kuna mtu kapitabkatika wakati usiohitajika kupita huku ikipoga kelele.
Package: 3 motion detectors 3 doors detectors 1 smoke detectors 2 activator remote control