Imarisha usalama wa eneo lako kwa kufunga uzio wa umeme.
Tupigie leo tukufungie uzio wa umeme kwa ubora mkubwa na uzio utakaodumu zaidi ya miaka kumi.
Bei zetu ni kuanzia 20,000 kwa mita mpaka 25,000 kwa mita moja.
Bei hujumlisha vifaa pamoja na ufundi.
Tunapatikana Dar Es Salaam na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani