Dual lens bettery camera, ni camera ya kisasa kabisa.
zinafaa kwa matumizi ya nyumbani, sehemu za ujenzi na miradi, shuleni, godown, barabarani n.k
-inatumia simcard
-unaweza kuaccess kupitia app kwenye simu yako ya mkononi hata ukiwa mbali
-unaweza kuhifadhi matukio kwa cloudstorage au memory card
- ina night vision
-ina motion detection
-inatumia memory card
-360 wide angle
-ina pan/tilt mode( inazunguka)
-ddns
-two way audio
-inatumia bettery ikiwa na fully charge inauwezo wa kukaa na charge masaa 5 ukiitoa kwenye umeme
kwa wakazi wa dar es salaam tunafanya huduma ya delivery unaletewa mzigo hadi ulipo kisha ndio unalipia gharama ya bidhaa na usafiri (cash on delivery) na pia mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi kwa usalama na uaminifu mkubwa.