Kwanini uibiwe au ukose amani kwa uliye muachia mtoto wako au mali zako?
.njia bora ya kujua anaeingia na kutoka katika sehemu yako pamoja na kusikia wanayoongea
.inafaa kwa matumizi ya nyumbani shambani dukani ofisini godown warehouse,shuleni
Ni bulb kabisa unauwezo wakuwasha taa kama bulb ya kawaida
.Full High Definition HD clear video
.unauwezo wa kuconnect na simu na ukaangalia matukio yote kupitia simu yako ya mkononi muda wowote popote utapokuwepo
.unaweza ukageuza kwenye angle zote 360 unazohitaji wewe kuona mzunguko huo utacontrol kupitia app na kuona kila angle
.two way audio ina mic na speaker ya kuwasiliana pande zote mbili unaweza ukaongea nao kwa simu kupitia camera hiyo inaona mpaka usiku clear kabisa
.unaweza ukaweka memory card na kukurekodia matukio yote
.motion sensor setting itadetect mtu anapopita