4G Solar Smart Camera Lenzi 3
Smart camera ya kisasa inayotumia solar yenye lenzi tatu
Inatumia line za 4G kama Halotel Vodacom Tigo Airtel au YAS
Inakuwezesha kufuatilia kupitia simu TV au kompyuta
Inarekodi usiku kwa rangi na inahifadhi video kwa siku 3 bure kwa njia ya cloud
Betri kubwa ya 3.2V 38000mAh
Kamera zina uwezo wa 12MP kila moja
Muonekano wa nyuzi 360 kwa ufuatiliaji mpana
Muda wa kuchaji ni masaa 4 hadi 6
Ina dhamana ya miaka miwili
Bei 255,000 tu!