Mashine n nzuri inapiga kazi kubwa kwa muda mfupi,ina print page 64 kwa dakika,inascan page 64 kwa dakika,inacopy page 64 kwa dakika,inaprint kwa simu,inageuza karatasi( 2 sided) ina Adf feeder, ina tray 3 pamoja na by pass,ina usb port,ethernet port na wifi,ina print karatasi ngumu aina zote,ina print calender,ina print passport size kwa wale watu wa graphics hii ndo mashine yenu.wino wake kuanzia 100k.Tunafunga box bure,Mafundi wapo wenye weredi na kazi, usafiri bure ndani ya Dar es salaam,wa mikoani tunapeleka bure mpaka kwenye cargo,installation bure hata ukiwa mkoani,mashine zote zina warranty.