Mashine ina warranty... inaprint page 20 kwa dakika,inascan page 20 kwa dakika,inacopy page 20 kwa dakika,ina print kwa simu,inageuza karatasi(2 sided),ina tray 5 pamoja na by pass.Mafundi wenye weredi wa kazi wapo na spea zake zinapatikana kwa bei rafiki,usafiri ndani ya Dar es salaam n bure.