Mteja wangu unayo iyona hapo juu ni taa ya solar.
Taa iyo jinsi ilivyo ni taa yenye muundo wa taa 2 kwa kuwa taa 1.
Kama unaitaji taa ya solar inayo waka pande mbili yani ukifunga kwenye fence ina kuwa inawaka upande wa ndani na upande wa nje.
Taa kwenye picha ni taa ya 1000w bei elekezi ipo hapo cheni ya tangazo ni bei ya taa tu.
Wewe unapo agiza tambua kwamba gharama za pole yani bomba azihusiki na bei ulio wekewa.
Seti yake inakuwa Taa, nati na rimont.
Taa inawaka ata kama kuna mvua, Taa aingii maji ni waterproof.
Taa itajichaji kwa muda wa masaa 12 kwanzia Asubuh hadi jioni
Taa itawaka mpaka Asubuh
okoa gharama za malipo ya bili za umeme kwenye eneo lako
Delivery tunafanya popote ndani ya dar es salaam
Nje ya dar es salaam tunatuma
Tupo morroco dar es salaam.
karibu sana