Taa ya ukutani ya solar yenye LED 6 (3 juu na 3 chini) ni suluhisho bora la mwanga wa nje bila kutumia umeme. Inachaji kwa jua kwa muda wa masaa 4 hadi 6 na inawaka kwa masaa 8 hadi 12 usiku. Inabadilika rangi kati ya nyekundu na bluu, na kuipa nyumba yako mwonekano wa kisasa na kuvutia.
Taa hii ni rahisi kufunga kwa kuwa haina nyaya. Inafaa kwa maeneo ya nje kama mageti, kuta, bustani, uzio, na maeneo ya kupumzikia. Imetengenezwa kwa vifaa imara vya kuhimili mvua na jua, hivyo ni ya kudumu kwa muda mrefu.
Tunauza kwa bei nafuu ya shilingi 38,000 tu. Tunafanya delivery sehemu yoyote Tanzania. Hakuna haja ya umeme tena — tumia nguvu ya jua kuipamba na kuiangaza nyumba yako.
Piga simu au tuma ujumbe WhatsApp sasa hivi kupitia namba .
Wahi sasa kabla ya stock kuisha.