Rafiki yangu kumekucha stuka watu wameamia huku kwenye solar power system.
Hio hapo juu ni 500W
Unapata TAA 4
Panel
System yake
Sasa unatumia vipi hii sasa unaweza kutumia kwa kuicharge kwa solar yake au ukaicharge kwa umeme
Kama unatumia umeme inafaa pale ambapo umeme umekatika
Na kama hauna umeme basi inafaa pia kutumia kwa upande wa solar
Vitu ambavyo unaweza kutumia kwa
Mfumo huu ni kama Tv kwanzia inch 24 hadi 55 mwisho
Laptop pia unatumia, subwoofer unatumia pia kucharge simu bila idadi utakavyo mashine ya kunyolea unatumia pia
Feni unatumia pia
Kwahiyo hapo ndio mpango mzima
Ngoja nikupe details zake kama unapenda kujua kwa undani zaid
Output Inverter Power: 500W Solar Panel: 18V 90W, Polycrystalline Battery Type: 12.8V 48AH, LiFePO4 32700 DC Output: 12V, 2PCS AC Output: 220V 50Hz USB Output: 5V