Taa hii ya solar ina mwanga mkali sana na inafaa kwa matumizi ya nje kama vile nyumbani, dukani, barazani au njiani.
SIFA ZAKE:
Ina nguvu ya 1000W
LED 180 zenye mwanga mweupe
Betri ya lithium inayodumu muda mrefu
Panel ya solar 6V 15W
Inachaji kwa saa 6 hadi 8
Inawaka saa 12 hadi 15 usiku
Inafungwa mita 4 hadi 6 juu
Imetengenezwa kwa plastiki imara
Unapata warranty ya mwaka 1
NAMNA YA KUPATA:
Tunafanya delivery ndani ya Dar es Salaam hadi mtaa ulipo kwa gharama ya mteja
Pia tunatuma mikoani Tanzania nzima
Bidhaa ni ile ile unayoiona kwenye picha na inawaka kama ilivyoelezwa
BEI: Shilingi 150,000 kwa taa moja
Usiogope kuagiza, bidhaa ni salama na unapata kile unachotarajia