:
*tangazo: uv water sterilizer - mpya made in italy*
*inauzwa: uv sterilizer w-180 18w - bado box*
kama picha zilivyo _haijatumiwa kabisa_
*maelezo:*
1. *model*: w-180 | *power*: 18w
2. *umeme*: 230v - 50hz. inafaa umeme wa tanzania moja kwa moja
3. *kazi yake*: inaua 99.9% ya bacteria, virusi na algae kwenye maji kwa kutumia mwanga wa uv. hakuna kemikali kabisa.
4. *capacity*: inasafisha hadi *680lph / 1360lph* kwa saa
*inaf aa wapi?*
*aquarium* - maji yanakuwa safi crystal, hakuna green water
*hoteli/nyumba/shule* - kutibu maji ya kunywa na kupikia
*shamba la umwagiliaji* -