Kumfundisha mwanafumzi jinis ya kusoma kuandika na kuhesabu kwa urahisi
Na kuhakikisha kuwa mwanafunzi ana elewa mazingira yake na jinsi ya kuitumia elim atakayo pewa na wewe
Requirements & Skills
Uwe una juankusoma vizuri
kuandika kiswahili na kingereza
Hesabu za kutoa kujumlisha kugawanya kuzidisha na kujumlisha
Minimum Qualification Requirements
Cheti cha form 4
Ufaulu mzuri kwenye masomo ya kingereza kiswahili na hesabu