Duka linauzwa na Kila kilichomo ndani, nakupa na offa ya fremu miezi mitatu Bure then utalipia laki Moja /mwezi, Eno ni goba Kwa SANYA mtaa wa mbezi mtoni, mauzo makubwa wastani Kwa siku ni tsh 100,000 na kiwango Cha chini ni 45,000 Hadi 60,000, hamna udalali biashara na fremu zote ni zangu, nauza sababu ni mekosa mtu mwaminifu wa kuniangalizia kazi pindi sipo
Bei ni sh mil 3, haina punguzo