1. Meno kutoboka
2. Meno kuvunjika –
3. Meno kusagika au kupungua kimo
4. Tatizo la fizi
5. Meno kuharibika, fizi kuachia na kulegea –
6. Meno kufa ganzi na kushindwa kuhisi vyenye sukari na vingine.
7. Harufu mbaya na kupumua vibaya
8. uhozo au Utando mdomoni kinga ns dawa.
9. Meno kuwa na rangi ya njano, kaki au kahawia. wameo inayoendana. Hii yanayopatikana maeneo hayo kuwa na uwingi wa aina flani ya madini hasa Fluoride.
*DALILI ZA MTU MWENYE TATIZO LA MENO*
*Meno kuuma wakati wa kula au mda wa baridi au joto
*Kutokwa na damu kwenye fizi
*Meno kuanza kulegea na kuachana na fizi
*Kutoa harufu mbaya mdomoni.
*Meno kubadirika rangi mfano nyeusi, njano, kahawia na rangi zingine.
*Fizi huwa nyekundu kama damu ikiwezekana kuna na vidonda
Mdomo kuwa mkavu
*Meno kufa ganzi
*Meno kuchomoka au kutikisika
*Mdomo kuwa mkavu n.k