Airtel 5g router ,ina uwezo wa kuunganisha zaidi ya vifaa 64
inakuja na power bank yake hivyo hata umeme ukikata utaendelea kuperuzi kwa speed ile ile
ina unganisha umbali wa mita za mraba 100
pia ni portable na kina muonekano mzuri ambapo unaweza kikibeba nakwenda nacho mahali popote kikiwa na kasi ile ile
delivary tunafanya popote pale ndani ya dar na mikoani pia karibu tukuhidumie.
mawasiliano zaidi