Samsung Galaxy S9 4GB RAM, 64GB, Octa-Core, Super AMOLED 5.8”, kamera 12MP OIS + 8MP, fast charging na performance bado nzuri kwa matumizi ya kawaida.
Hata kama body inaonekana imechoka, machine ya ndani iko vizuri na sehemu kama screen/body zinaweza kubadilishwa kwa gharama nafuu. Bei ni TSh 110,000 tu!