Ninauza Nyama ya Nguruwe kwa bei ya JUMLA
Ninakusanya orodha ya wateja wote wanaotaka nyama ya nguruwe kwa bei ya JUMLA kwa MIKOA ya Dar es salaam na Pwani
Kama unataka Nyama ya Nguruwe kwa bei ya Jumla Tuwasiliane
Bei ya JUMLA ya Nyama ya Nguruwe Kilo 1 (1kg) ni Shillingi Elfu Nane na Mia Tano tu.
Dar es Salaam Na Pwani. Delivery ipo kwa gharama za mteja
Ninahitaji wateja wanaonunua na kulipa cash.
JUMLA ni kuanzia kilo 5, kilo 10, kilo 20, kilo 30, kilo 40, kilo 50, kilo 60, kilo 70, kilo 80, kilo 90, kilo 100, kilo 150, kilo 200 nakuendelea
Tuwasiliane
tel: +two five five, seven, one, six, fifty seven, sixty eight, twenty seven.
text, call or whatsapp
Location: Dar es salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Sehemu inaitwa Manzese
Dar es salaam na Pwani, Delivery ipo kwa gharama za mteja