machine zenye filters zinazochuja chumvi, magadi, kwenye maji na kuondoa uchafu usiohitajika kwenye maji na kuyafanya kuw ya baridi, malaini, bora kwa kunywa na masafi kwa afya.
zinatengenezewa machine zinazoweza kuchakata kuanzia lita 500,1000 kwa lisaa na kuendelea kulingana na ujitaji wa mteja.
machine hizi ni kwa matumizi ya nyumbani, hotelini,shuleni, au kwa wale wanaohitaji kuanzisha miradi ya maji kama viwanda vya maji.