matenki ya stainless steel 304, ambayo hayapati kutu, ukungu, utelezi wala joto na yanauzwa yakiwa na stending zake.
tunatengeneza matenki yenye ujazo wa tofauti tofauti mfano kuanzia yenki lenye ujazo kuanzia lita 500,1000, na kuendelea
utatengenezewa tenki lenye muundo upendao mfano la duara, sanduku, la kusimama, au tambalale
tunatengezea hapa hapa kiwandi,,,,materials yapo yakutosha na mafundi waliobobea na wenye uweredi katika kuzalisha kazi nzuri sana
yanapatikana mbezi beach africana, jijini dar es salaam.