tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Commercial Equipment & Tools
  3. Manufacturing Equipment
Mashine Ya Kusaga Na Kukoboa

Mashine Ya Kusaga Na Kukoboa

+1
Dar es Salaam, Kinondoni
138 views
Brand New
Condition
Feed Mills
Type
6 kW
Mill Motor Power
250 kg/h
Feed Mill Capacity
Mashine yakusaga na kukoboa 2 in 1 . za mafuta sasa zinapatikana . faida za mashine hii ina vinu viwili kimoja kinakoboa na kingine kinasaga . inarahisisha kazi na kupunguza gharama . inasaga nafaka kavu kama mahindi,mchele,ulezi ,mihogo, na nafaka zote kavu inakoboa mahindi, mpunga, mtama dengu nk inauwezo wakusaga kilo 250kwa saa nzuri sana kwa kazi kwa maeneo ambayo bado hayana huduma ya umeme. bei yake ni tsh 2,400,000/= milioni mbili laki nne mashine iko complete tayari . wateja wa mkoni wanatumiwa kwa uhakika na usalama kwa gharama za mteja . wahi kabla mazigo haijaisha
062XXXXXXX
TSh 2,400,000, Negotiable
Safety tips
  • Don't pay in advance, including for delivery
  • Meet the seller at a safe public place
  • Inspect the item and ensure it's exactly what you want
  • On delivery, check that the item delivered is what was inspected
  • Only pay when you're satisfied
Mark unavailable
Report Abuse