Badili maji yenye chumvi,magadi,harufu, rangi, wadudu,vumbi,mchanga,na kutu*****kuwa maji malaini,matamu,yabaridi,safi kwa kunywa na bora kwa afya.
Ni kwakununua machine yenye filters na r.O ambazo zinauwezo wa kutoa kila aina ya takataka zisizohitajika kwenye maji ( hubakisha kile kiwango cha chumvi/madini kinachohitajika kubaki kwenye maji kwa afya)
tunatengeneza machine inayosafisha kuanzia lita 250 kwa lisaa na kuendelea
tunafanya delivery mpaka nyumbani kwa mteja.
Tupo mbezi beach africana dar es salaam. Bagamoyo road