ni machine zenye filters na r.o zinazochuja chumvi,magadi kwenye maji na kuondoa harufu mbaya, ladha mbaya, rangi,mchanga na kuua bacteria wabaya kwenye maji .maji yatakuw malaini, matam, safi na bora kwa afya....zinatengenezwa machine zenye uwezo wa kuchuja maji kuanzia lita 500 kwa lisaa na kuendelea.
zinatumika majumbani, hospitalini, shuleni, na viwandani
tunatoa ushauri kwa wateja wetu.....kwa kuwapa elimu, juu ya mashine zitakazo wafaa kulingana na mahitaji yao. kama vile kwa mahitaji ya biashara ya maji au matumizi tu ya nyumbani
huwa tunayapima maji kwanza tujue yanakiwango kipi cha chumvi au magadi ili kuwapa machine zenye material na uwezo kulingana na maji/ripoti ya maji ya mteja.
kwenye picha ni machine inayoweza kuchakata lita 500 kwa lisaa mpaka 1000 , bei ya machine inayosafisha lita 500 kwa lisaa ni milioni 5 na laki 5 maongezi yapo.
karibuni
wonderful group limited, iliyopo mbezi beach africana jijini dar es salaam.