simple machine zakubadili maji magumu, kuwa maji malaini, matamu, yabaridi, safi kwa kunywa na bora kwa afya.
zinachuja na kuondoa chumvi, magadi, harufu, rangi, vumbi, mchanga, bacteria, kutu, n.k
zinauwezo wa kuchakata kuanzia lita 250 kwa saa, lita 500 kwa saa na kuendelea.
mteja anashauriwa kununua machine kulingana na kiwango /ripoti ya maji yake na matumizi ya maji baada ya kuchunjwa.
machine hizi zinaweza kutumika majumbani, shuleni,viwandani, miradi mbali mbali ya maji, na hotelini.