TAA ZA JOTO KWA VIFARANGA:
Taa hizi ni mahususi kwajili ya kuwapatia joto imara mifugo yako bandani.
Taa hizi Zinatumia umeme wa kawaida (TANESSCO) kwa kiwango kidogo.
Zimetengenezwa kwa material mazuri yasio ruhusu maji kuharibu.
Taa moja inaweza kutunza vifaranga 100+
Unaweza kutumia kwa kuku,Bata,njiwa,kware,kanga n.k
Zinatoa joto sahihi kwa mifugo yako na kwa ufanisi mkubwa...
Taa hii utaipata kwa garama ya Tsh...