Hii taa inatumia bluetooth na unaiongoza na simu yako
i)kuanzia kuiwasha,kuizima, kubadili mwanga, kuongeza na kupunguza mwanga
ii) ina mwanga mweupe na dim
iii) ina mianga ya rangi mingi sana
iv) ina mianga ya kubadilika badilika mingi sana pia
v) ina mianga ya kubadilila ambayo inaenda na beat la music (kama disco light)
vi) Ina kitu kinaitwa TIMER kwamba unaweza kuiachia maagizo kuwa ikifika muda fulani ijizime na muda fulani ukifika ijiwashe,
kwa mfano: kila ikifika sa1 usiku taa iwake na ikifika sa1 asubui taa ijizime hata kama umesafiri
vii) Pia kama unatumia zaidi ya moja unauwezo wa kuziunganisha zikawa kama taa moja, kwamba unachofanya kwenye simu yako kikawa kinafanyika kwa taa zote ulizoziunganisha
viii) Hizi taa zinadumu sana
ix) zipo za holder zote pin na thread
x) hii taa unaiweka palepale unapowekaga tu bulb yako kawaida