tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Seeking Work - CVs
  3. Legal CVs
Dar es Salaam, Kinondoni, 01/08
5 views

Afisa Sheria

+1
Legal Work Experience
less than 1 year
Job Type
Temporary
Employment Status
Unemployed
Gender
Female
Marital Status
Single
Age
25
Education
Nina Elimu ya shahada ya sheria kutoka Katika chuo cha Tumaini university Dar es salaam
Still Studying
No
Skills
1.Utafiti wa sheria na kesi mbalimbali ili kusaidia mawakili. 2.Uandishi wa nyaraka za kisheria kama hati za madai, viapo, na mikataba. 3.Upangaji wa majadala ya kesi, uwekaji wa kumbukumbu, na kufuatilia tarehe za mahakama. 4.Kusikiliza wateja, kuchukua maelezo yao, na kuwapa ushauri wa awali. 5.Nafahamu jinsi ya kusajili nyaraka mahakamani na taratibu za mabaraza mbalimbali. 6.Ujuzi wa usuluhishi wa migogoro nje ya mahakama.
Languages
English Swahili
Certifications
Cheti cha form four Cheti cha form six Cheti cha shahada ya sheria
Highest Qualification
Degree
References
JOMWA ATTORNEYS RUVUMA,TANZANIA
1.Nilipitia na kuandaa mikataba ya ajira, sera za rasilimali watu, na mikataba ya siri ili kuhakikisha zinazingatia sheria ya ajira. 2. Niliandaa fomu za rufaa na hati za madai kwa ajili ya kuwasilisha Tume ya Usuluhishi na Uamuzi - CMA 3. Niliwasaidia mawakili kuandaa kesi za migogoro ya ajira, nikifanya uchambuzi wa awali wa kufukuzwa kazi kinyume cha sheria, uvunjaji wa mikataba, na madai ya kiinua mgongo.
Show contact
TSh500,000 - 700,000
Report Abuse
Safety tips
  • Don't disclose your personal information
  • Do your research before inviting anyone for an interview
  • Don't open the links that aren't included in the candidate's CV
  • Conduct the interview in a safe and secure office environment
frame_left.gif