Big plot for sale Mbezi beach with House space contained 3500 Sqm Title deed available Good location & safe neighahood near main road if interested contact me
buyuni beach from ocean..karibuni tunauza viwanja vya makazi kwa bei ya kutupa..tunakupa kiwanja unalipia taratibu ndani ya miezi 18..kwa kila mwisho wa mwezi utatoa asilimia 5%..mwanzo utatoa 15% kwa malipo ya awali.karibu..piga simu for more info
Kiwanja kinauzwa kipo mbezi beach upande wa juu kina angalia bahari ukubwa wa kiwanja ni sqmt 1500 kiwanja kina pagale ndani na hiyo ndio ramani ya nyumba iliotakiwa kujegwa bei milion 180 maongezi yapo,pia tuna viwanja mbezi beach kwa zena upande wa chini beach vinauzwa bei poa vimeshuka bei.Kwa maelezo mengine nipigie simu
Plot for sale!! Kina hati kimepimwa.
Mtaa wote una maghorofa na ulinzi.
Location mbezi beach afrikana chini njia ya sea breeze.
Kina fence na geti.
0677546797
general reliance tanzania real estate
Commercial plot/Residential plot and Industrial plot for sale in Dar tz contained big spaces preffered Good location for Investment for more informetion contact me
Ipo mbezi makabe/msakuzi.
Dakika 10 kutoka lami inayoenda goba/ mbezi mwisho.
Usafiri upo 24hours
maji na umeme vipo.
Huduma za kijamii.
Vyote vimepimwa.
Vya 6million ambavyo ni
238sqm
298sqm
308sqm
vya 8million
384sqm
396sqm
12million
522sqm
vimepimwa vyote
unaweza lipia kwa awamu.
0677546797
kiwanja kimepimwa na kina hati, huduma kamaumeme na maji zipo jirani na Kiwanja, kiwanja kipo umbali wa kilometa 9 kutoka feri na kutoka barabara ya lami mita 300
karibu ujipatie viwanja vya makazi vilivyopo mlandizi kwa kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 18.
utaratibu wa malipo unalipa elfu 90 kwa kila mwezi..karibuni sana.mradi umetoka leo tarehe 23 hautokaa muda mrefu sokoni piga simu sasa tukupe kiwanja 0677428528
Weka odda mapema kabisaa !!
Mlandizi new project
Huduma zote za kijamii zinapatika
Hujachelewa bado
Fanya kunichek kwa kuweka odda yako
Sqm 1@4050 tu
Anza na elfu 90.
Kwa miezi 18
nyumba ina uzwa milioni, 53 , ipo mbagala chamazi nyumba bado nimpya kabisa ipo dar eslaam, tanzania wilaya temeke kama una hitaji hinyumba nipigie cm ujenzi bado una endelea hakika una kabiziwa nyumba ikiwa imeisha