Water dispenser ina bomba mbili moja ya maji baridi sana na nyingine maji moto maji moto unaweza tengenezea chai au coffee ya faster faster ni nzuri sana kwa matumizi ya nyumbani na ofisini bei yake ni ya ofa bado nakuuzia kwa laki na hamsini tu 150k
Ukihitaji nipigie namba062XXXXXXX