Auto Defrost, Auto Shut-Off, Door-Open Alarm, Freezer Interior Light, Humidity-Controlled Crisper, Ice Maker, Other
Refrigerator Features
130watts
Power
Store address
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo Uhuru &Sikukuu street
Nearly to Equity bank, Jd pharmacy Crdb bank uhuru street
Closed
• Mon - Sat, 09:00-18:00
Dar es Salaam • Ilala
Uhuru st.
Sikuuu /Living stone/Uhuru street
Closed
• Mon - Sat, 09:30-15:00
SAMSUNG REFRIGERATOR
MODEL : RT47CG6631B1
UJAZO: LITA 465
Hii ni new model kutoka samsung ambayo ina warrant ya miaka 20 kwenye compressor na miaka 2 for the product yaani fridge kama fridge.
Ina FEATURES muhimu zifuatazo :
1. Multi air flow, Litao ubaridi unaozunguka na kugandisha vitu haraka sana
2.Deodorizer, Ina kifaa ndani ambayo inasadia fridge lako kubakia na hewa safi mdaa
3.Tempered class sheleves, Ina shelfu imara kabisa ambazo zinabeba ujazo mkubwa wa chakula bila kuvunjika
4.Twisted ice maker, Ina boxi ambayo inakusadia wewe ndugu mteja kutengeneza mabarafu madogo madogo kwa ajili ya vinywaji
5.Smarthing, Unaweza kucontrol fridge kwa kutumia simu ya mkononi
6.No frost , lina gandisha chakula na haliweki uchafu wa mabarafu wa aina yoyote