Auto Defrost, Auto Shut-Off, Digital Display, Door-Open Alarm, Freezer Interior Light, Gallon Door Storage, Humidity-Controlled Crisper, Ice Maker, Other
Refrigerator Features
180watts
Power
Delivery
Dar es Salaam
1 day
TSh 20,000
Store address
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo Uhuru &Sikukuu street
Nearly to Equity bank, Jd pharmacy Crdb bank uhuru street
Closed
• Mon - Sat, 09:00-18:00
Dar es Salaam • Ilala
Uhuru st.
Sikuuu /Living stone/Uhuru street
Closed
• Mon - Sat, 09:30-15:00
*Kwanini unahitaji kutumia aina hii ya fridge kutoka Samsung*
*MODEL* : RT49K5552BS
*LITRE CAPACITY* : 385
*COLOR* : BLACK
Ina warranty ya compressor kwa miaka 20
Inapunguza matumizi makubwa ya umeme kwani inatumia teknolojia ya Digital inverter technology (DIT)
Haitoi mabarafu (non-frost), hugandisha vitu kwa ubaridi unaohitajika bila kutoa barafu
inauwezo wa kubadilika mara tano kwa kadri ya matumizi yako (five conversion modes).
inatunza ubaridi kwa masaa 8 mpaka 12 pindi umeme unapokatika, kwani inakifaa kinaitwa cool pack ndicho kinachofanya kazi hiyo.
inatenganisha harufu za vyakula ndani ya friji lako na kuifanya kuwa na harufu moja ambayo ni nzuri (Deodorizing filter)
inauwezo wa kubeba vyakula hadi kilo 150kwenye shelf
Ina Twist ice maker inayoweza kukusaidia kutengeneza vibarafu kutumia unapokunywa kinywaji chako.