1.Uwezo wa kuandaa mikataba, hati za madai (pleadings),na barua rasmi za kisheria.
2.Ustadi wa kutumia kanuni, sheria za nchi, na maamuzi ya mahakama (case laws) kutatua changamoto za kisheria.
3.Uzoefu wa kupanga, kutunza, na kufuatilia nyaraka na mafaili ya wateja ofisini.
4.Uwezo wa kusikiliza wateja, kuelewa matatizo yao, na kutoa mwongozo wa kwanza wa kisheria.
5.Ujuzi wa kuandaa majarida ya kesi na kusaidia mawakili wakuu kujiandaa kwa ajili ya mahakamani.