#nyumba nzuri inauzwa, pamoja na uwanja unaozunguka nyumba, ambao unaweza ukajenga nyumba tatu zingine🔥🔥
.
.
sifa za nyumba
ina vyumba vinne (kimoja master), sebule, jiko, dinning, public toilet mbili zote za ndani na store
.
.
uwanja mkubwa zaidi ya heka 1 na hapohapo unaweza jenga nyumba zaidi ya tatu zingine
.
.
bei ni 120 milioni tu (maongezi yapo kidogo)
.
.
mahali:mbezi salasala,
umbali wa kilometa mbili (km 2) kutoka bagamoyo road mpka kwenye nyumba.
.
.
#note;
nyumba ni zuri sana na ramani ya kisasa, matunzo tu ndio maana inaonekana hivyo ikipigwa rangi inakua poa sana
Square meters: 4900