Nyumba / 9 bedrooms house inauzwa, mbezi luis - dar es salaam
.
• mahali: kwa msuguri bwaloni kwa minja
• hali ya nyumba: nzuri
• bei: tzs 250,000,000
• hadhi ya kiwanja: kimepimwa
• ukubwa wa kiwanja: 4771 sqm
• nyaraka: hati ya wizara
• kupelekwa kuona: tzs 20,000
.
tanzawise estates
dar es salaam
.
ilikuwa lodge hapo awali • ipo kilomita 1.7 kutoka barabara ya morogoro (kituoni kwa msuguri) na kilomita 1 kutoka lami ya kinyerezi (msigani) • vyumba vyote ni self • mapokezi • washroom ya jumuiya • gereji • uzio • malumalu sakafuni • madirisha vioo • paving • nyumba ya watumishi uwani • kaunta ya vinywaji, jiko na vyoo vya nje pembeni ya nyumba • mfumo wa maji wa dawasa upo • tenki la maji safi la chini • mnara wa tenki la maji la juu • inafaa kwa matumizi ya biashara au makazi
.
• visit our listing to find more and different properties.
• if you can't get enough of our properties, send a request of your choice through our contacts