Nyumba mpya inapangishwa
.
Hii nyumba ina vyumba 2 vikubwa Sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa,jiko kubwa na choo cha familia
.
Kwenye fensi moja zipo nyumba 6 na 5 ndio zipo wazi na inajitegemea kwa kila kitu na zitakamilika kuanzia tarehe 1.9.2020 ila unahurusiwa kulipia.
Kama ambavyo moja tayari imeshalipiwa na wewe pia hujachelewa wahi ulipie kabla hazijaisha karibu sana wateja
.
.
Zipo kimara mwisho Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 kwa miguu
.
Kodi ni 300,000/= x6 plus na hela ya dalali ambayo ni hela ya mwezi mmoja