Vyumba viwil vya kulala (hakuna master), sebule and dinning room, puplic toilet, jiko (lipo kwa nje).
.
.
Umeme maji inajitegenea ina tank la lita 2,000. Ina panking ya kutosha, ndani ya fens zipo 3,
.
.
Umbali kutoka morogoro road ni 2km.
.
.
Kodi ni sh. 250,000/= kwa mwezi, anapokea miezi sita na kuendelea.
.
.
Malipo ya dalali ni hela ya mwez mmoja (250)
.
.