Bangaloo la kisasa linapangishwa na linajitegemea lenye kwenye fensi, lina vyumba 4 vikubwa Sana vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom, sebule kubwa, dining room,jiko kubwa,, store na choo cha familia, paving, garden nzuri,lipo kimara suka kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu