Nyumba Inapangishwa
.
.
Ina master na sebule
.
Ipo Mbezi kibanda cha mkaa umbali wa kilometa 1 kutoka morogoro road
.
.
Kodi 100,000 x 6
.
.Ipo ndani ya fensi na parking ipo
.
.
Malipo ya dalali ni hela ya mwez mmoja
.
.
Service charge10k itadumu hadi utakapopata nyumba