Hizi apartment zipo 4 kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi ina vyumba 2 vya kulala (kimojawapo ni master), sebule kubwa, jiko na choo cha familia
.
.
Kodi 350,000 x 6
.
.
Kila apartment inajitegemea kwa kila kitu kuanzia umeme wake na mita yake ya maji dawasco zipo
.
.
Kimata Bucha, kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu
.
.
Malipo ya dalali ni hela ya mwez mmoja (330k)
.
.
Service charge 10k itadum had utakapo pata nyumba