Hizi apartment ni mpya kabisa za kisasa zipo 6 kwenye fensi moja.A
kila apartment inajitegemea kwa kila kitu kuanzia umeme wake na mita yake ya maji dawasco.Zina vyumba 2 vya kulala.Sebule.Jiko na choo cha familia.
Bei ni 200,000×6
mbezi-mwisho njia ya konoike road kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2.3