Hizi apartment zipo 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa ina vyumba viwili vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master kubwa sana sebule kubwa, jiko kubwa la kisasa na choo cha familia kila apartment inajitegemea kwa kila kitu kuanzia umeme wake na mita yake ya maji dawasco zipo kimara korogwe njia mpya iliyowekwa lami kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 20 tuu kwa miguu njia ni lami tupu pia kuna bajaji sh 500