Dar hakuna joto maboss
nunua hii ukafurahie upepo mwanana
tower feni /feni ya kisasa
sifa ni lukuki lakini hizi hapa kwa uchache
1) haina kelele yeyote
2)upepo usio umiza
3)wale wa allerg/mafua/vifua hii ndio rafiki yao
4)haina madhara kiafya
5)unaset muda wa kujizima
6)inazunguka nyuzi 60
7 ina speed 3 (low,mid,high)
kubwa zaidi ni pambo ndani
usiteseke kwenda madukani,
relax kwa dar tunakuletea bidhaa mpaka nyumbani kwako ndio unalipia na ni bure
mikoa yote tunatuma kwa uaminifu mkubwa sana
na malipo ni kabla